Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi,Ajira na Mahusiano,Mhe.Deus Sangu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Bi.Zuhura Yunus,pamoja na Mkurugenzi wa CMA Mara baada ya Hafla ya Kuanza rasmi matumizi ya Mfumo wa e-Utatuzi, Januari21,2026 jijini Dar es salaam.