Wakuu wa Taasisi mbalimbali zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Bi. Mary Maganga (wa tatu kulia), Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi (wa nne kulia), Naibu katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu , Sera , Bunge na Uratibu, Dkt. James Kilabuko (kulia), na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu , Bi. Zuhura Yunus, wakifuatilia Hotuba ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Kuhusu mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni Jijini Dodoma. Picha mstari wa tatu juu kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi, Usekelege Mpulla.