Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi mara baada ya uapisho, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi wa kisaini viapo vya uapisho mbele ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi , Bw Edriss Mavura wa pili kushoto mbele pamoja na Makamishna wakiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi , Bw Edriss Mavura wa pili kushoto mbele pamoja na Makamishna wakiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu,
Tume ya Usuluhishi na Uamuzi,
CMA Makao Makuu S.L.P 716,
Jengo la PSSF, Ghorofa ya 6,
Mtaa wa Makole,
Dodoma
Simu: 2136524 / 2136490
Nukushi: 2136508
Barua pepe: dir@cma.go.tz
© 2023 TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI