Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Mhe.Usekelege Mpulla, akiwasilisha taarifa kwa mgeni Rasmi Mhe.Ridhiwani Kikwete, Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu na katika kikao cha tathmini ya utendaji kazi na mafunzo Februari 19,2025 Mkoani Morogoro.