Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, Menejimenti ya Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, pamoja na baadhi ya wakuu wa taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo, mara baada ya uzinduzi wa Wiki ya Vijana Kitaifa 2025, uliofanyika katika Viwanja vya Uhindini, jijini Mbeya, tarehe 10 Oktoba 2025.