Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (katikati), Naibu Waziri, Mhe. Rahma Kisuo (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Usekelege Mpulla (wa pili kulia), Kamishna wa Kazi, Bi. Suzan Mkangwa (wa kwanza kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Bi. Gift Kilimwomeshi (wa kwanza kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na Wasuluhishi na Waamuzi wa Tume ya CMA wa Dodoma, mara baada ya ziara na kikao cha watumishi pamoja na menejimenti ya Tume, kilichofanyika tarehe 12 Desemba, 2025 jijini Dodoma.