Kaimu Afisa Mfawidhi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Dodoma Mhe, Jerome Katto akitoa Elimu katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria kwa wateja mara baada ya kutembelea banda hilo katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Januari 23, 2023 jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi mara baada ya uapisho, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu,
Tume ya Usuluhishi na Uamuzi,
CMA Makao Makuu S.L.P 716,
Jengo la PSSF, Ghorofa ya 6,
Mtaa wa Makole,
Dodoma
Simu: 2136524 / 2136490
Nukushi: 2136508
Barua pepe: dir@cma.go.tz
© 2023 TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI