Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Bi. Zuhura Yunus, akipata Elimu kuhusu mfumo wa kidijitali wa usajili na usikilizwaji wa migogoro ya kikazi kutoka Kwa Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi CMA), Usekelege Mpulla, mara baada ya kutembelea Banda la Tume katika Maonesho ya Wiki ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali Pa Kazi OSHA Aprili 27, 2025 Mkoani Singida.