Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Mhe. Usekelege Mpulla akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughulu za Tume hiyo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, leo Oktoba 20, 2023 Bungeni, Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi mara baada ya uapisho, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.