Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Mhe. Usekelege Mpulla (wa pili kushoto) Pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania, Bw. Gileadi Teri, (wapili kulia) wakikabidhiana nyaraka za makubaliano ya ushirikiano kati ya CMA na TIC, Mei 2, 2024 jijini Dar es Salaam.